Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 22:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kama binti ya kuhani ameolewa na mutu asiyekuwa kuhani, haruhusiwi kula sadaka ya vitu vitakatifu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 22:12
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nani anayeweza kuiongoza akili ya Yawe, au kuwa mushauri wake na kumufundisha?


au dada yake ambaye (aliyekuwa wa jamaa yake ya karibu), naye hajaolewa bado.


Lakini kama kuhani amenunua mutumwa kwa kuwa mali yake, basi, yule mutumwa anaruhusiwa kula na vilevile wale waliozaliwa katika nyumba yake.


Lakini kama binti ya kuhani ni mujane au amefukuzwa na mume wake na hana mutoto, naye amerudi kwa baba yake na kukaa naye kama vile alipokuwa kijana, basi, anaweza kula chakula cha baba yake. Hata hivyo, mugeni haruhusiwi kula chakula hicho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ