Walawi 21:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Utamutambua kuhani kuwa aliyetakaswa, maana yeye ndiye anayetolea sadaka ya mukate wa Mungu wako. Utamutambua kuwa mutakatifu, maana mimi Yawe ninayekutakasa wewe ni mutakatifu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |