16 Yawe akamwambia Musa:
kusudi asichafue watoto wake mwenyewe. Mimi ni Yawe niliyemutakasa.
Umwambie Haruni hivi: Muzao wako yeyote katika vizazi vyote vinavyokuja ambaye ana kilema juu ya mwili, haruhusiwi kukaribia na kunitolea mimi Mungu wake sadaka ya mukate.