Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 21:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Kuhani Mukubwa anaweza tu kumwoa binti ambaye ni bikira.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 21:13
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuhani yeyote asioe mwanamuke mujane wala mwanamuke aliyeachana na mume wake. Lakini atamwoa bikira ambaye ni Mwisraeli au mwanamuke aliyefiwa na mume wake aliyekuwa kuhani.


Kwa sababu ametakaswa kwa kupakwa mafuta ya Mungu wake juu ya kichwa, basi asiondoke katika Pahali Patakatifu wala asipachafue. Mimi ni Yawe.


Haruhusiwi kuoa mwanamuke mujane, mwanamuke asiyekuwa bikira, wala kahaba. Anapaswa kuoa bikira kutoka watu wake mwenyewe


Kwa sababu kuhani ametakaswa kwa ajili ya Mungu wake, asioe kahaba wala mwanamuke asiyekuwa bikira wala aliyefukuzwa na mume wake.


Mimi ninasikia wivu kwa ajili yenu sawa vile Mungu anavyousikia vilevile. Kwa maana ninyi ni kama binti mukamilifu niliyemwowesha kwa mume mumoja, ndiye Kristo.


Watu wale ndio waliojilinda katika usafi bila kujichafua kwa kulala na wanawake, nao wanamufuata Mwana-Kondoo kila fasi anapokwenda. Wamekombolewa kati ya watu wengine kusudi wakuwe wa kwanza kutolewa kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo kama vile sadaka ya mavuno ya kwanza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ