Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 21:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Asikaribie maiti wala kujichafua kwa maiti hata kama ni ya baba yake au ya mama yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 21:11
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Musijitie chanjo juu ya mwili wenu kwa ajili ya kuomboleza au kujikatakata chanjo yoyote juu ya mwili. Mimi ni Yawe.


Mutu akigusa maiti ya mutu yeyote, atakuwa muchafu kwa siku saba.


Na hii ndiyo sheria ya kufuatwa kama mutu akikufia ndani ya hema: Kila mutu atakayeingia ndani ya hema hilo, au aliyekuwa ndani ya hema hilo, atakuwa muchafu kwa siku saba.


hata kama ni ya baba, mama, ndugu au dada yake, kusudi asijichafue kwa maana amejitakasa kwa Yawe kwa kiapo.


“Mutu anayenifuata, atakuwa kweli mwanafunzi wangu kama akinipendelea mimi kuliko baba na mama yake, muke na watoto wake, wakaka na wadada zake. Na zaidi ya hii hapaswi kujipendelea yeye mwenyewe vilevile.


Kwa hiyo basi, tangu sasa hatumuhesabu tena mutu yeyote kufuatana na hali ya kimutu. Hata ikiwa tulimuhesabu Kristo kufuatana na hali ya kimutu, kwa sasa hatumuhesabu tena kufuatana na hali ile.


Walawi waliacha wazazi wao, wakawasahau wandugu zao, hawakuwatambua hata watoto wao, maana walifuata amri zako, na kushika agano lako.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ