Walawi 20:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Mushike masharti yangu na kuyatimiza. Mimi ni Yawe ninayewatakasa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Ni kwa hiyo mutu yeyote atakayevunja hata amri moja inayokuwa ndogo kuliko zingine zote, na kuwafundisha watu wengine kufanya kama yeye, huyu atahesabiwa kuwa mudogo katika Ufalme wa mbinguni. Lakini yule atakayezishika na kuzifundisha wengine, huyu atahesabiwa kuwa mukubwa katika Ufalme wa mbinguni.