Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 20:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Munapaswa kushika na kutimiza masharti yangu na maagizo yangu yote. Kama sivyo inchi ile ambamo ninawapeleka itawatapika.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 20:22
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kusudi watu wake watii masharti yake, na kufuata sheria zake. Haleluia!


Nimeapa na kuhakikisha kiapo changu, kwamba nitashika maamuzi yako ya haki.


Ninakulilia kwa moyo wangu wote; unijibu, ee Yawe, nifuate masharti yako.


Kifungo cha neno lako ni ukweli, maamuzi yako yote ya haki yanadumu milele.


Ninakusifu mara saba kila siku, kwa sababu ya maamuzi yako ya haki.


Midomo yangu itatangaza sifa zako, maana unanifundisha masharti yako.


Unijalie kuishi nipate kukusifu; na maamuzi yako yanisaidie.


Roho yangu inaugua kwa hamu kubwa ya kutaka kujua siku zote maamuzi yako.


Moyo wangu ukuwe mukamilifu juu ya masharti yako, kusudi nisifezeheke.


Nitatia roho yangu ndani yenu; nitawafanya mufuate masharti yangu na kushika maagizo yangu.


Munapaswa kushika na kutimiza masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ni Yawe.


Nitawatawanya ninyi kati ya watu wa mataifa na kuchomoa upanga juu yenu. Inchi yenu itakuwa ni ukiwa na miji yenu uharibifu.


Haya ndiyo maagizo, masharti na maamuzi ambayo Musa aliwaambia Waisraeli walipotoka Misri,


Musa akawaita pamoja Waisraeli, akawaambia: “Enyi Waisraeli, musikilize masharti na maagizo ambayo ninayasema mbele yenu leo. Mujifunze hayo na kuyatimiza kwa uangalifu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ