Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 20:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kama mutu akilala na muke wa baba yake, mukubwa au mudogo, anamupatisha baba yake mukubwa au mudogo haya. Wote wawili watabeba lazima ya zambi yao. Wote wawili watakufa bila watoto.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 20:20
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hana watoto wala wajukuu; hakuna aliyebaki katika makao yake.


Wazao wake wote wakufe; jina lake lisahauliwe katika kizazi kinachokuja!


Yawe anasema hivi: Muandike mutu huyu kwamba hana watoto, ni mutu ambaye hatafanikiwa katika maisha yake. Maana hakuna hata mumoja wa wazao wake atakayekiikalia kiti cha kifalme cha Daudi na kutawala tena katika Yuda.


Usilale na muke wa baba yako mukubwa au mudogo; huyo ni mama yako.


Kama mwanaume akimwoa muke wa ndugu yake, anamupatisha ndugu yake haya, huo ni uchafu; wote wawili watakufa bila watoto.


“Sasa Bwana amenifanyia mema kwa kunitendea hivi; ameniondolea haya ya kutokuzaa niliyokuwa nayo mbele ya watu.”


Lakini hawakukuwa na mutoto, kwa maana Elizabeti alikuwa tasa, tena wote wawili walikuwa wazee sana.


Kwa maana siku zitakuja wakati watu watakaposema: ‘Heri wanawake wanaokuwa tasa, wale waliokosa kuzaa na kunyonyesha!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ