19 Usilale na dada ya mama yako wala na shangazi yako, maana hao ni jamaa yako wa karibu. Wote wanaotenda vile watabeba lazima ya uovu wao.
Amuramu alimwoa Yokebedi, shangazi yake, naye akamuzalia Haruni na Musa. Amuramu aliishi miaka mia moja makumi tatu na saba.
Mutu yeyote wa Israeli haruhusiwi kumukaribia mwanamuke wa jamaa yake wa karibu kusudi alale naye. Mimi ni Yawe.