Walawi 20:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Kama mwanaume akilala na mwanamuke anayekuwa na ugonjwa wa mwezi, wote wawili wanapaswa kutengwa na watu wao; huyo mwanaume amelala na mwanamuke aliyekuwa na ugonjwa wa mwezi, na huyo mwanamuke amefunua mutiririko wa damu yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |