Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 20:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Kama mwanamuke anakaribia nyama na kulala naye, mwanamuke huyo anapaswa kuuawa na nyama huyo vilevile na damu yao itakuwa juu yao wenyewe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 20:16
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu asimuguse mutu yule. Atauawa kwa kupigwa mawe au mushale. Akuwe ni mutu au ni nyama, hataishi. Wakati baragumu itakapopigwa mufululizo, watu wote watakaribia mulima.”


Ngombe akimupiga mutu pembe na kumwua, ngombe yule atauawa kwa kupigwa mawe na nyama yake haitakuliwa. Mwenye ngombe yule hatahukumiwa.


Kama ngombe yule akimupiga pembe mutumwa au mujakazi, mwenye ngombe atamulipa bwana wa yule mutumwa feza zenye bei ya shekeli makumi tatu na yule ngombe anapaswa kuuawa kwa kupigwa mawe.


Anayemutolea mungu mwingine sadaka pahali pa Yawe pekee, lazima aangamizwe kabisa.


Usilale na nyama kusudi usijichafue. Mwanaume au mwanamuke yeyote asifanye hivyo. Kufanya hivyo ni upotovu.


Kama mwanaume yeyote akilala na nyama anapaswa kuuawa na nyama huyo anapaswa kuuawa.


Kama mwanaume yeyote akimwoa dada yake, binti ya baba yake au mama yake na binti huyo akakubaliana na mwanaume huyo ambaye ni kaka yake, na kulala naye, hilo ni chukizo. Wanapaswa kutengwa na watu wao maana wamefanya jambo la haya. Huyo mwanaume atabeba lazima ya uovu wake, maana amelala na dada yake.


kwa sababu hawakuweza kuvumilia agizo walilotolewa: “Hata nyama akigusa mulima anapaswa kuuawa kwa kutupiwa mawe.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ