Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 20:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mwanaume yeyote akilala na muke wa mwana wake, wote wawili wanapaswa kuuawa. Wamefanya machafuko na damu yao itakuwa juu yao wenyewe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 20:12
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu, bila kujua kwamba huyo alikuwa muke wa mwana wake, akamwendea pale kando ya njia, akamwambia: “Ninataka kulala nawe.” Tamari akamwuliza: “Utanipa nini upate kulala nami?”


Yuda akamwuliza: “Unataka nikupe nini kama rehani?” Naye akamujibu: “Unipe hiyo pete na kamba yake pamoja na hiyo fimbo unayoshika.” Basi, Yuda akamupa vitu hivyo vyote, akalala naye. Tamari akapata mimba yake.


Lakini mwizi akishikwa wakati jua limechomoza na kuuawa, aliyemwua atakuwa na kosa. Mwizi anapaswa kulipa. Ikiwa hana kitu cha kulipa, basi, yeye mwenyewe atauzishwa kwa kulipa kile alichoiba.


Usilale na muke wa mwana wako, huyo ni muke wa mwana wako. Usilale naye.


Usilale na nyama kusudi usijichafue. Mwanaume au mwanamuke yeyote asifanye hivyo. Kufanya hivyo ni upotovu.


“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayelala na mama mukwe wake’. Na watu wote wataitika: ‘Amina!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ