Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 20:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Kama mwanaume akifanya uzinzi na muke wa mwenzake, wote wawili wanapaswa kuuawa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 20:10
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwanamuke yule akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kwamba yuko na mimba yake.


Basi, Daudi akamwambia Natani: “Nimetenda zambi mbele ya Yawe.” Natani akamwambia: “Yawe amekusamehe zambi yako, nawe hautakufa.


Jambo hilo ni kosa la kuchukiza, uovu ambao mwamuzi anapaswa kuazibu.


Kama moyo wangu umevutwa kwa muke wa mutu, kama nimevizia kwenye mulango wa jirani yangu,


Usilale na muke wa mwenzako na hivyo kujichafua naye.


Mungu hakuwafanya ninyi wote wawili mukuwe mwili mumoja na roho moja? Alikusudia nini alipofanya hayo? Tuzae watoto wanaomupendeza Mungu. Kwa hiyo, muchunge uzima wenu na kuhakikisha kwamba hakuna hata mumoja wenu anayekosa uaminifu kwa muke wake.


akilala na mutu mwingine bila mume wake au mutu mwingine yeyote kujua; amejichafua ingawa hakuna mutu aliyeshuhudia kitendo chake kwa sababu hakukamatwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ