Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 19:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Usipitepite hata kidogo ukiwachongea watu wa jamaa yako. Usitie maisha ya mwenzako katika hatari ya kifo kwa maneno yako. Mimi ni Yawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 19:16
24 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu anayefitini warafiki zake kwa faida, watoto wake watakufa macho.


Nitateketeza yule anayemuteta mwenzake, sitamuvumilia mwenye majivuno na kiburi.


Unaikaa kitako kumuteta mwanadamu mwenzako, unamuchongea ndugu yako wa tumbo.


Usitoe habari za uongo. Usishirikiane na mutu mwovu kwa kuwa mushuhuda mubaya.


Ujitenge mbali na mashitaki ya uongo wala usiwaue wasiokuwa na kosa na wenye haki, maana mimi sitamusamehe mutu mwovu.


Anayemuchukia mwingine kwa siri ni munafiki. Anayemusingizia mutu ni mupumbafu.


Anayepitapita akichongea anatoa siri, lakini anayeaminiwa anaficha siri.


Mupiga domo hafichi siri. Kwa hiyo umwepuke mutu wa kusemasema.


Wote ni waasi na wagumu, ni watu wanaopitapita wakisengenya wengine, ni wagumu kama shaba au chuma. Wote wanatenda mabaya.


Kila mutu anadanganya jirani yake, hakuna hata mumoja anayesema ukweli. Wamezifundisha ndimi zao kusema uongo; anatenda uovu kwa kadiri ya kushindwa kabisa kunigeukia.


Kwako kuna wanaowasingizia wengine kusudi wauawe. Wakaaji wako wanashiriki chakula kilichotolewa kwa miungu juu ya milima. Watu wako wanatenda uasherati.


Akawaambia: “Nimekosa kwa kumutoa mutu huyu asiyekuwa na kosa auawe.” Lakini wao wakamujibu: “Jambo hilo halituelekei. Ni kazi yako wewe mwenyewe!”


“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayepokea kituliro kusudi aue mutu asiyekuwa na kosa’. Na watu wote wataitika: ‘Amina!’


Wanawake wao wanapaswa kuwa na adabu vilevile, wasikuwe wasingiziaji wa uongo, lakini wakuwe wakadirifu na waaminifu katika mambo yote.


Hawatakuwa na upendo wala huruma. Watakuwa wenye kusingiziana, wasiojizuiza, wakali na wasiopenda mema.


Vilevile uwaambie wanawake wazee wakuwe na mwenendo unaostahili kwa watu watakatifu. Hawapaswi kuwa wasingiziaji, wala wasikuwe watumwa wa pombe, lakini wakuwe wenye kutoa mafundisho mazuri.


Basi, mutupilie mbali matendo yote maovu na ya udanganyifu pamoja na wivu na masingizio ya kila namna.


Kisha akamwambia: “Kwa nini unawasikiliza watu wanaokuambia: ‘Daudi anataka kukuzuru’?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ