Walawi 18:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200224 Musijichafue kwa kufanya mambo hayo maana kwa sababu ya mambo hayo ninafukuza mataifa yanayokuwa mbele yenu kwa vile wao wanafanya hayo na kujichafua. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Tutachagua watu kumi katika kila watu mia moja wa Israeli, watu mia moja katika kila watu elfu moja, watu elfu moja katika kila watu elfu kumi. Hao watakuwa na kazi ya kuwaletea chakula wenzao watakaokuwa na kazi ya kuuazibu muji wa Gibea katika inchi ya Benjamina kwa ajili ya ubaya wao na upotovu walioufanya katika Israeli.”