23 Usilale na nyama kusudi usijichafue. Mwanaume au mwanamuke yeyote asifanye hivyo. Kufanya hivyo ni upotovu.
Anayezini na nyama hakika atauawa.
Anayemutolea mungu mwingine sadaka pahali pa Yawe pekee, lazima aangamizwe kabisa.
Mwanaume yeyote akilala na muke wa mwana wake, wote wawili wanapaswa kuuawa. Wamefanya machafuko na damu yao itakuwa juu yao wenyewe.
“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayelala na nyama yoyote’. Na watu wote wataitika: ‘Amina!’