Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 18:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Usimwoe dada ya muke wako wakati muke wako angali anaishi, hiyo itasababisha mapigano.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 18:18
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yakobo akakubali. Na Yakobo alipomutimizia Lea siku zake saba, Labani akamupa Rakeli, binti yake mudogo akuwe muke wake.


Lakini Lea akamwambia kwa ukali: “Unazani ni jambo dogo kuninyanganya mume wangu na sasa unataka kutwaa dudai za mwana wangu?” Rakeli akamujibu: “Ikiwa utanipa dudai za mwana wako, Yakobo atalala kwako leo.”


Lameki akaoa wanawake wawili, mumoja aliitwa Ada na mwingine Sila.


Utaunganisha mapazia matano yakuwe kipande kimoja na mapazia mengine matano yakuwe kipande cha pili.


Ukilala na mwanamuke, basi, usilale naye na binti yake, wala wajukuu zake. Hao ni wandugu. Kuwachanganya ni kufanya uovu.


Usilale na mwanamuke anapokuwa na ugonjwa wa mwezi.


Mungu hakuwafanya ninyi wote wawili mukuwe mwili mumoja na roho moja? Alikusudia nini alipofanya hayo? Tuzae watoto wanaomupendeza Mungu. Kwa hiyo, muchunge uzima wenu na kuhakikisha kwamba hakuna hata mumoja wenu anayekosa uaminifu kwa muke wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ