Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 18:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Ukilala na mwanamuke, basi, usilale naye na binti yake, wala wajukuu zake. Hao ni wandugu. Kuwachanganya ni kufanya uovu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 18:17
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Usimwoe dada ya muke wako wakati muke wako angali anaishi, hiyo itasababisha mapigano.


Kama mwanaume akioa muke na vilevile kumwoa mama yake, huo ni uovu. Wote watatu wanapaswa kuteketezwa kwa moto maana wamefanya uovu. Mutafanya hivyo kwa kukomesha uovu kati yenu.


Wanagandamiza wazaifu, na kuwabagua wamasikini wasipate haki zao. Mutoto na baba yake wanalala na binti mujakazi mumoja, hivyo wanalichafua jina langu takatifu.


“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayelala na mama mukwe wake’. Na watu wote wataitika: ‘Amina!’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ