14 Usilale na muke wa baba yako mukubwa au mudogo; huyo ni mama yako.
Usilale na dada ya mama yako, maana huyo ni mama yako mukubwa au mudogo.
Kama mutu akilala na muke wa baba yake, mukubwa au mudogo, anamupatisha baba yake mukubwa au mudogo haya. Wote wawili watabeba lazima ya zambi yao. Wote wawili watakufa bila watoto.