13 Usilale na dada ya mama yako, maana huyo ni mama yako mukubwa au mudogo.
Usilale na shangazi yako, maana huyo ni dada ya baba yako.
Usilale na muke wa baba yako mukubwa au mudogo; huyo ni mama yako.
Usilale na dada ya mama yako wala na shangazi yako, maana hao ni jamaa yako wa karibu. Wote wanaotenda vile watabeba lazima ya uovu wao.