10 Usilale na mujukuu wako, mutoto wa mwana wako au binti yako, maana sehemu zao za siri ni kama zako mwenyewe.
Usilale na binti aliyezaliwa na muke wa baba yako aliyeolewa na baba yako. Binti huyo ni dada yako.
Usilale na dada yako, akuwe ni dada yako, binti wa baba yako au wa mama yako hata kama alizaliwa katika nyumba au pahali pengine.