Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 17:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Mutu yeyote kati ya Waisraeli au mugeni anayekaa kati yao akienda kuwinda nyama au ndege, anapaswa kumwanga damu chini na kuifunika kwa udongo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 17:13
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ewe dunia, usifunike damu yangu iliyomwangika; kilio changu kienee kila pahali.


Mutu anapoteza kipande cha mukate kwa kahaba, lakini mwanamuke muzinzi atapoteza uzima wako wote.


Mauaji yako humo katika muji; damu yenyewe haikumwangwa juu ya udongo kusudi ifunikwe na mavumbi, lakini ilimwangwa juu ya jiwe.


Ndiyo maana nimewaagiza Waisraeli hivi: mutu yeyote kati yenu wala mugeni anayeishi kati yenu asikule damu.


Tena, musikule damu yoyote, ikuwe ya ndege au ya nyama pahali popote munapoishi.


Lakini musikule damu ya nyama hao; mumwange damu hiyo chini kama vile maji.


Musikule damu hiyo, lakini muimwange chini kama vile maji.


Lakini usikule damu yake; hiyo utaimwanga chini kama vile maji.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ