13 Mutu yeyote kati ya Waisraeli au mugeni anayekaa kati yao akienda kuwinda nyama au ndege, anapaswa kumwanga damu chini na kuifunika kwa udongo.
Ewe dunia, usifunike damu yangu iliyomwangika; kilio changu kienee kila pahali.
Mutu anapoteza kipande cha mukate kwa kahaba, lakini mwanamuke muzinzi atapoteza uzima wako wote.
Mauaji yako humo katika muji; damu yenyewe haikumwangwa juu ya udongo kusudi ifunikwe na mavumbi, lakini ilimwangwa juu ya jiwe.
Ndiyo maana nimewaagiza Waisraeli hivi: mutu yeyote kati yenu wala mugeni anayeishi kati yenu asikule damu.
Tena, musikule damu yoyote, ikuwe ya ndege au ya nyama pahali popote munapoishi.
Lakini musikule damu ya nyama hao; mumwange damu hiyo chini kama vile maji.
Musikule damu hiyo, lakini muimwange chini kama vile maji.
Lakini usikule damu yake; hiyo utaimwanga chini kama vile maji.