1 Yawe akamwambia Musa:
Hili ni sharti la kufuata siku zote. Linapaswa kufuatwa kwa kufanya ibada ya upatanisho kwa ajili ya watu wa Israeli mara moja kila mwaka na kusamehewa zambi zao. Musa akafanya yote kama vile alivyoamuriwa na Yawe.
Uwaambie Haruni, wana wake na watu wote wa Israeli maagizo haya: