Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 16:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Atawapigia kura hao beberu wawili, kura moja kwa ajili ya Yawe na nyingine kwa ajili ya Azazeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 16:8
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kura inapigwa kwa kujua yatakayotukia, lakini uamuzi ni wa Yawe.


Hilo ndilo eneo la makabila ya Waisraeli. Humo ndimo watapewa maeneo yao, kila kabila eneo lake. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.


Lakini yule beberu aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya Azazeli atatolewa mbele ya Yawe akiwa muzima. Kwa kufanya ibada ya upatanisho, kuhani atamwacha aende katika jangwa kwa Azazeli, kwa ajili ya zambi za jamii.


Yule mutu aliyepeleka yule beberu kwa Azazeli kwanza atafua nguo zake na kuoga ndipo atakapoweza kuingia ndani ya kambi.


Kisha, wale beberu wawili atawaweka kwenye mulango wa hema la mukutano.


Ataleta yule beberu ambaye kura ilimwangukia kwa ajili ya Yawe na kumutolea sadaka kwa ajili ya zambi.


Kisha wale watumishi wa mashua wakasemezana: Tupige kura tupate kujua hasara hii imetupata kwa ajili ya kosa la nani. Basi, wakapiga kura; kura ikamwangukia Yona.


Hata hivyo ugawanyaji wa inchi utafanywa kwa kura. Kila kabila litarizi kulingana na majina ya ukoo wao.


Mutagawanya inchi hiyo kwa kura kufuata jamaa zenu; eneo kubwa kwa kabila kubwa na eneo dogo kwa kabila dogo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ