Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 16:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Mutafanya hivyo kwa sababu siku hiyo ndiyo siku ambayo mutafanyiwa ibada ya upatanisho, musafishwe zambi zenu, nanyi mutakuwa safi mbele ya Yawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 16:30
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Unijaze furaha na shangwe, unifurahishe tena, mimi ambaye uliniponda.


Mimi ni mukosaji tangia kuzaliwa kwangu, mwenye zambi tangia tumbo la mama yangu.


Nitatakasa zambi zao zote na kuwasamehe uovu wao na uasi walionitendea.


Siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni siku ya upatanisho. Siku hiyo ni siku ya kuwa na mukutano mutakatifu. Mutafunga kula na kutoa sadaka Yawe anazotolewa kwa moto.


Musifanye kazi zenu zozote za kawaida siku hiyo. Siku hiyo ni siku ya upatanisho, siku ya kuwafanyia ninyi upatanisho mbele ya Yawe, Mungu wenu.


Alifanya hivi kusudi atakase kanisa kwa ajili ya Mungu, akilisafisha kwa maji na kwa neno.


Yeye alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu, kusudi atukomboe toka uovu wote na kututakasa tupate kuwa watu wake wa pekee, watu wanaokuwa na hamu ya kufanya kazi nzuri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ