Walawi 16:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Kisha atatoka na kwenda kwenye mazabahu inayokuwa mbele ya Yawe na kufanya ibada ya upatanisho. Atatwaa sehemu ya damu ya yule ngombe dume na ya yule mbuzi na kupakaa pembe za mazabahu pande zote. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |