1 Yawe akazungumuza na Musa, kisha kufa kwa wana wawili wa Haruni wakati ule walipomukaribia.
Sheria hiyo inaelekea vilevile mwanamuke anayetokwa damu na kuwa muchafu. Sheria hiyo inaelekea mwanaume au mwanamuke yeyote anayetokwa na chochote na vilevile inaelekea mwanaume anayelala na mwanamuke ambaye ni muchafu.