Rakeli alikuwa ametwaa zile sanamu, akazificha chini ya matandiko ya ngamia na kuketi juu yake. Labani akazitafuta katika hema lote; lakini hakuzipata.
Mutu yeyote atakayegusa kitu chochote mutu huyu alichoikalia atakuwa muchafu mpaka magaribi. Mutu yeyote anayebeba kitu chochote kilichokuwa cha mutu huyu anapaswa kufua nguo zake na kuoga. Atakuwa muchafu mpaka magaribi.