Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 15:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mutu yeyote atakayegusa mutu anayetokwa na usaha, anapaswa kufua nguo zake na kuoga; naye atakuwa muchafu mpaka magaribi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 15:7
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kugusa nyama fulanifulani kunamufanya mutu kuwa muchafu. Yeyote atakayegusa mizoga yao atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Mutu akitwaa sehemu ya mizoga yake atakuwa muchafu mpaka magaribi na nguo zake zinapaswa kufuliwa.


Ikiwa nyama yeyote munayeruhusiwa kula, anakufa mwenyewe, yeyote atakayegusa muzoga wake, atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Mutu yeyote atakayeikalia kitu chochote mutu huyu mwenye kutokwa na usaha alichoikalia, anapaswa kufua nguo na kuoga. Atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Mutu yeyote akitemewa mate na mutu anayetokwa usaha, yule aliyetemewa mate anapaswa kufua nguo zake na kuoga. Atakuwa muchafu mpaka magaribi.


au akigusa kiumbe chochote chenye kutambaa ambacho kinamufanya mutu kuwa muchafu au mutu ambaye anaweza kumuchafua wa aina yoyote,


Chochote mutu muchafu atakachogusa kitakuwa kichafu, na yeyote atakayekigusa kitu hicho atakuwa muchafu mpaka magaribi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ