Walawi 15:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200230 Kuhani atatoa mumoja kwa ajili ya sadaka ya zambi na mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Hivyo kuhani atamufanyia huyo mwanamuke ibada ya upatanisho mbele ya Yawe na kumwondolea uchafu wake wa kutokwa damu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |