3 Na hii ndiyo sheria juu ya uchafu huo: muda wote anapotokwa na usaha au usaha unapokuwa umezuiwa ndani yake, mutu yule ni muchafu.
Tena ulifanya uzinzi na jirani zako Wamisri waliojaa tamaa, ukaongeza uzinzi wako na kuichochea hasira yangu.
Aliwatamani sana wanaume wenye viungo kama viungo vya punda na wenye kuwaka tamaa kama farasi dume.
Mutoto huyo atatahiriwa katika siku yake ya nane.
Uwaambie Waisraeli hivi: Mwanaume yeyote akitokwa na usaha, usaha huo unamufanya kuwa muchafu.
Kitanda chochote atakacholalia au atakachoikalia, kitakuwa kichafu.