Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 15:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Kitanda chochote anacholalia wakati ule au kiti chochote anachoikalia, kitakuwa kichafu sawa kama wakati wake wa kutengwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 15:26
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uwaambie watu wa Israeli hivi: Mwanamuke akipata mimba na kuzaa mutoto mwanaume, atakuwa muchafu kwa muda wa siku saba sawa vile anavyokuwa kwa wakati wake wa ugonjwa wa mwezi.


Kama mwanamuke anatokwa na damu kwa muda wa siku nyingi kuliko vile inavyokuwa kawaida au anatokwa damu wakati usiokuwa wa kawaida yake ya kutokwa damu, basi, ataendelea kuwa muchafu muda wote damu inapomutoka.


Mutu yeyote atakayegusa vitu hivyo, atakuwa muchafu na anapaswa kufua nguo zake na kuoga. Atakuwa muchafu mpaka magaribi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ