Walawi 15:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200224 Kama mwanaume akilala na mwanamuke huyo na damu ya huyo mwanamuke ikimudondokea huyo mwanaume, basi, mwanaume huyo atakuwa muchafu kwa muda wa siku saba. Kitanda chochote huyu mwanaume atakacholalia kitakuwa kichafu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |