Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 15:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kitu chochote anacholalia au kuikalia wakati wa kutengwa kwake kitakuwa kichafu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 15:20
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ikiwa hauna chochote cha kulipa, hata kitanda unacholalia kitanyanganywa!


Yatakulinda mbali na mwanamuke mubaya, yatakuepusha na maneno matamu ya mwanamuke mugeni.


Hatakubali malipo yoyote; wala kutulizwa na zawadi zako nyingi.


Jambo moja nililotambua linalokuwa baya zaidi kuliko kifo, ni mwanamuke ambaye moyo wake ni mutego na wavu, na mikono yake ni kama minyororo. Lakini anayemupendeza Mungu anamwepuka mwanamuke yule, lakini mwenye zambi ananaswa naye.


Mwanamuke yeyote anapokuwa na ugonjwa wa mwezi, atakuwa muchafu kwa muda wa siku saba. Mutu yeyote atakayemugusa mwanamuke yule atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Mutu yeyote atakayegusa kitanda cha huyo mwanamuke anapaswa kufua nguo zake na kuoga kwa maji. Atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ