Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 15:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Kama mwanaume akilala na mwanamuke na kutokwa na mbegu za uzazi, basi, ni lazima wote wawili waoge kwa maji, nao watakuwa wachafu mpaka magaribi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 15:18
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Daudi alituma wajumbe wamulete. Basi Batiseba akakuja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye. Kisha akarudi kwake. Mwanamuke yule alikuwa akitoka kujitakasa kisha ugonjwa wake wa mwezi.


Ninaitikia kabisa makosa yangu, siku zote ninaona waziwazi zambi yangu.


Kisha akawaambia watu wote: “Kesho kutwa mukuwe tayari na mwanaume yeyote asimukaribie mwanamuke.”


Mwanaume yeyote akitokwa na mbegu za uzazi, anapaswa kuoga mwili muzima kwa maji, naye atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Nguo yoyote iliyodondokewa mbegu za uzazi au ngozi yoyote iliyoguswa na mbegu zile inapaswa kusafishwa kwa maji na itakuwa chafu mpaka magaribi.


Mutu yeyote atakayegusa kitanda cha mutu yule anapaswa kufua nguo zake na kuoga. Atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Wamoja kati yenu wanasema: “Vitu vyote vinaruhusiwa kwangu.” Ndiyo, lakini vyote si vyenye kufaa kwenu. Ninaweza kusema kwamba vitu vyote vinaruhusiwa kwangu, lakini sitakubali kuwa mutumwa wa kitu chochote.


Muepuke uzinzi! Zambi ingine yoyote mutu anayofanya haigusi mwili wake, lakini yule anayefanya uzinzi anafanya zambi juu ya mwili wake mwenyewe.


Ujiepushe na tamaa za ujana, utafute kuishi katika haki, imani, upendo na amani pamoja na watu wote wanaomwabudu Bwana kwa moyo safi.


Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, mume na muke wake wanapaswa kujikinga na uchafu, kwa sababu Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati.


Wapendwa wangu, ninawasihi ninyi, kama vile wageni na wasafiri hapa katika dunia, muepuke tamaa za mwili zinazopigana na roho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ