Mutu yeyote wa kizazi cha Haruni akiwa na ugonjwa wa ukoma au anatokwa usaha asikule vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi. Mutu yeyote akigusa mutu aliyejichafua kwa kugusa maiti au mutu aliyetokwa na mbegu za uzazi,
ni kusema vitu vyote ambavyo vinavyovumilia moto, vitatakaswa kwa kupitishwa ndani ya moto. Hata hivyo, vinapaswa kutakaswa kwa maji ya utakaso. Vitu vingine vyote ambavyo haviwezi kuvumilia moto vitatakaswa kwa maji ya utakaso.
muwaokoe, mukiwaopoa toka katika moto. Muwasikilie vilevile wengine huruma, lakini kwa woga, mukichukia hata nguo zao zilizochafuliwa na tamaa zao mbaya.