Walawi 15:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Mwanaume yeyote anayetokwa na usaha akiponywa ugonjwa wake, mutu yule anapaswa kungoja siku saba mbele ya kuondolewa uchafu wake. Atafua nguo zake na kuoga kwa maji ya muto, naye atakuwa safi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |