Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 15:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Chombo chochote cha udongo kilichoguswa na mutu anayetokwa na usaha kinapaswa kuvunjwa. Lakini chombo chochote cha mbao kitasafishwa kwa maji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 15:12
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Utawaponda kwa fimbo ya chuma, utawavunja kama chungu cha mufinyanzi!’ ”


inaita kwenye masanganjia, inaita kwenye milango ya muji:


Musikilize maonyo yangu; nitawamiminia mawazo yangu, nitawajulisha maneno yangu.


Mwana wangu, shika hekima safi na akili; usiviache vitoweke mbele ya macho yako,


Mutu yeyote anayetokwa na usaha akimugusa mutu bila kusafisha kwanza mikono yake na kuoga, aliyeguswa atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Sadaka hiyo ikipikiwa katika vyombo vya udongo, vyombo hivyo vitavunjwa. Lakini ikiwa vyombo hivyo ni vya shaba, basi, vitasafishwa vizuri kwa maji.


Kwa maana, tunajua kwamba hema hii tunayoishi ndani yake hapa katika dunia, maana yake mwili wetu, itakapobomolewa, Mungu atatupatia makao mengine mbinguni. Nayo ni nyumba aliyoijenga yeye mwenyewe na inayodumu milele.


Yeye atabadilisha huu mwili wetu wa uzaifu na kuufananisha na mwili wake wa utukufu kwa nguvu ambayo kwa njia yake anaweza kuwa na mamlaka juu ya vitu vyote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ