Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 14:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Siku ya saba atanyoa nywele zake zote, ndevu na kope za macho yake. Kisha atafua nguo zake na kuoga, ataoga kwa maji, naye atakuwa safi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 14:9
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuhani atatolea ile sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya vyakula juu ya mazabahu. Hivyo kuhani atamufanyia yule mutu ibada ya upatanisho, naye atakuwa safi.


Huyo mutu atafua nguo zake, atanyoa nywele zake, na kuoga, naye atakuwa safi. Nyuma ya hayo atarudi ndani ya kambi, lakini atakaa inje ya hema lake kwa muda wa siku saba.


Kama mutu anakufa kwa rafla karibu na munaziri na kuchafua nywele zake, huyu munaziri atanyoa kichwa chake wakati wa siku ya kutakaswa kwake; atakinyoa katika siku ya saba.


Hivi ndivyo utakavyowatakasa: uwanyunyizie maji ya utakaso kisha uwaambie wajinyoe mwili muzima, wafue nguo zao na kujitakasa.


basi, anaweza kumupeleka kwake. Yule mwanamuke atanyoa kichwa chake na kukata kucha zake,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ