Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 14:54 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

54 Hii ndiyo sheria juu ya aina yoyote ya taka la ukoma;

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 14:54
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hiyo basi, ndiyo sheria kuelekea nyama, ndege na viumbe vyote vyenye uzima ambavyo vinaishi ndani ya maji na inchi kavu,


Kuhani atachunguza pahali panapokuwa ugonjwa na ikiwa nywele za pahali pale zimebadilika kuwa nyeupe na ugonjwa wenyewe ukionekana kuwa uko ndani zaidi ya ngozi ya mwili wake, basi, huo ni ukoma. Kuhani akimaliza kumuchunguza, hivyo atatangaza kwamba mutu yule ni muchafu.


Hii ndiyo sheria juu ya mwenye ukoma katika siku ya kutakaswa kwake. Kisha kupona ataletwa kwa kuhani.


Hii ndiyo sheria juu ya mutu mwenye ukoma asiyeweza kutoa sadaka za kumutakasa.


Yule ndege anayekuwa muzima atamwacha aende zake katika pori inje ya muji. Hivi ndivyo atakavyotakasa nyumba hiyo, nayo itakuwa safi.


Hiyo ndiyo sheria juu ya mwanaume anayetokwa na usaha na anayetokwa na mbegu za uzazi na kuwa muchafu.


Unga huo utachanganywa na mafuta na kupikwa juu ya kikaango. Kisha utauleta ukiwa vipandevipande na kumutolea Yawe na harufu ya sadaka yake itamupendeza Mungu.


Unga uliobakia Haruni na wazao wake makuhani wataukula bila kutiwa chachu. Wataukula kwenye Pahali Patakatifu katika kiwanja cha hema la mukutano.


Hii ndiyo sheria ya ibada kuelekea sadaka kwa ajili ya kosa. Sadaka hiyo ni takatifu kabisa.


Basi, hii ndiyo sheria kuelekea sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya vyakula, sadaka kwa ajili ya zambi, sadaka kwa ajili ya kosa, kuelekea kutakaswa na kuelekea sadaka ya amani.


Na hii ndiyo sheria ya kufuatwa kama mutu akikufia ndani ya hema: Kila mutu atakayeingia ndani ya hema hilo, au aliyekuwa ndani ya hema hilo, atakuwa muchafu kwa siku saba.


Basi, hii ndiyo sheria kuelekea maneno ya wivu kama mwanamuke akiwa chini ya mamlaka ya mume wake, anapotoka na kujichafua,


Hii ndiyo sheria ya munaziri wakati akisha kamilisha muda wake wa kujitakasa: Ataletwa kwenye mulango wa hema la mukutano,


“Kama mutu akishikwa na ukoma munapaswa kuwa waangalifu kufuata maagizo ya Walawi. Kama vile nilivyowaamuru ndivyo mutakavyofuata kwa uangalifu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ