Walawi 14:52 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
52 Hivi ndivyo atakavyotakasa nyumba hiyo kwa damu ya ndege, maji safi ya chemichemi, ndege muzima, kipande cha muti wa mwerezi, tawi la hisopo na ile sufu nyekundu.
basi, kuhani ataamuru watu walete ndege wawili safi wanaokuwa wazima, kipande cha muti wa mwerezi, sufu ya rangi nyekundu na tawi la hisopo kwa ajili ya yule mutu atakayetakaswa.
Atatwaa kipande cha mwerezi, tawi la hisopo na ile sufu nyekundu pamoja na yule ndege mwingine anayekuwa muzima na kuvitumbukiza vyote katika damu ya yule ndege aliyechinjwa. Kisha atanyunyizia nyumba hiyo damu mara saba.