Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 14:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Lipu ya ndani ya nyumba hiyo itakwaruzwa na uchafu wake utatupwa pahali pachafu inje ya muji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 14:41
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wanaikaa katika makaburi na kupitisha usiku ndani ya mashimo. Wanakula nyama ya nguruwe na kuweka muchuzi wa nyama wachafu ndani ya sahani zao.


Wataziharibu kuta zako na kuibomoa minara yako. Nitafagia kabisa udongo wako na kukufanya kuwa kama jiwe tupu.


kuhani ataamuru mawe yanayokuwa kwenye sehemu zenye taka lile yaondolewe na kutupwa pahali pachafu inje ya muji.


Kisha watatwaa mawe mapya na kujenga pahali walipobomoa. Nao watapiga nyumba hiyo lipu upya.


Nyumba hiyo inapaswa kubomolewa na mawe yake, miti yake na lipu vipelekwe pahali pachafu inje ya muji.


Naye atamupiga vikali na atamwazibu sawa na watu wanafiki, akimuweka kwenye nafasi atakapolia na kusaga meno.


Yesu alipofika ngambo ingine ya ziwa la Galilaya, katika inchi ya Wagedari, watu wawili wenye pepo wakamufikia, wakitoka kwenye makaburi. Watu wale walikuwa na pepo wakali sana, hata hakuna mutu aliyesubutu kupita katika njia ile.


Kati yao kuna Himeneo na Alesanduro, ambao nimemwachia Shetani kusudi wasimutukane Mungu tena.


Lakini mbali ya muji ule kuna watu wenye kuchukiza, wachawi, wazinzi, wauaji, wanaobudu sanamu na wasema uongo na wote wanaoupenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ