Walawi 14:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Atachinja yule mwana-kondoo dume wa sadaka kwa ajili ya kosa. Kuhani atatwaa sehemu ya damu na kumupakaa yule mutu anayetakaswa katika incha ya sikio lake la kuume, katika kidole gumba cha mukono wake wa kuume na kidole gumba cha muguu wake wa kuume. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |