23 Siku ya nane atamuletea kuhani vitu hivyo mbele ya mulango wa hema la mukutano kwa ajili ya utakaso wake mbele ya Yawe.
Siku ya nane, anapaswa kuleta hua wawili au vitoto viwili vya njiwa mbele ya Yawe kwenye mulango wa hema la mukutano na kumupatia kuhani.