Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 14:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Sehemu ya mafuta yanayobaki katika kigaja chake ataipakaa mutu yule anayetakaswa katika incha ya sikio lake la kuume na kidole gumba cha mukono wake wa kuume na kidole gumba cha muguu wake wa kuume, pahali palepale alipomupakaa damu ya sadaka kwa ajili ya kosa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 14:17
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nitatia roho yangu ndani yenu; nitawafanya mufuate masharti yangu na kushika maagizo yangu.


Kuhani atatwaa sehemu ya damu ya sadaka kwa ajili ya kosa na kumupakaa mutu anayetakaswa katika incha ya sikio lake la kuume na kidole gumba cha mukono wake wa kuume na kidole gumba cha muguu wake wa kuume.


Atachovya kidole cha mukono wake wa kuume katika mafuta hayo na kumunyunyizia yule mutu anayetakaswa mara saba mbele ya Yawe.


Yale mafuta yaliyobaki atayapakaa yule mutu kwenye kichwa. Hivyo kuhani atamufanyia ibada ya upatanisho mbele ya Yawe.


Musa akamuchinja. Akatwaa damu ya kondoo huyo na kumupakaa Haruni kwenye incha ya sikio lake la kuume, kidole gumba cha mukono wake wa kuume na cha muguu wake wa kuume.


Halafu Musa akatwaa mafuta ya kupakaa na damu kutoka mazabahu akamunyunyizia Haruni na wana wake hata na nguo zao vilevile. Hivyo Musa akamutakasa Haruni na wana wake pamoja na nguo zao.


Sisi wote tumepokea sehemu ya neema aliyojaa nayo, akitupatia baraka nyingi sana.


Mungu Baba aliwachagua ninyi tangu mbele kufuatana na mupango wake na kufanywa watakatifu na Roho, mupate kumutii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Ninawatakia neema na amani kwa uwingi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ