Walawi 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Kuhani atamuchunguza tena mutu yule siku ya saba. Kama kulingana na uchunguzi wake, ile sehemu ya ugonjwa imefifia na ugonjwa haujaenea, basi, kuhani atamutangaza mutu yule kuwa safi, huo ni upele tu. Mutu huyo atafua nguo zake, naye atakuwa safi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |