Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:55 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

55 Kuhani ataangalia nguo ile kisha kufuliwa. Ikiwa ile alama haijabadilika rangi yake hata ingawa taka halikuenea, basi, nguo ile ni chafu. Nguo ile utaichoma kwa moto, ikuwe alama ile iko nyuma au mbele ya nguo ile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:55
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ewe Yerusalema, matendo yako machafu yamekuchafua. Ingawa nilijaribu kukutakasa, mwenyewe ulibaki muchafu. Basi, hautatakasika tena mpaka nitakapotuliza hasira yangu juu yako.


ataamuru nguo ile ifuliwe na kuwekwa pembeni kwa muda mwingine wa siku saba.


Kama kuhani ataona kwamba ile alama imefifia kisha kufuliwa, basi atakata ile sehemu inayokuwa na namna ya ukoma.


Lakini mutu asiyekuwa na tabia hizo ni kipofu, hawezi kuona. Yeye amesahau kwamba amekwisha kutakaswa zambi zake za zamani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ