Walawi 13:51 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200251 Siku ya saba ataangalia taka lile. Ikiwa taka lile limeenea katika nguo hiyo, ikuwe ni ya kufuma au kusokotwa au ya ngozi au ya ngozi ya aina yoyote, nguo ile ina ukoma. Hivyo nguo ile ni chafu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |