Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Siku ya saba, kuhani atamwangalia tena mutu yule, na ikiwa, kulingana na uchunguzi wa kuhani, ugonjwa huo haujaenea kwenye ngozi yake, basi, kuhani atamutenga mutu yule kwa siku zingine saba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:5
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwana wa Haruni atakayekuwa kuhani pahali pa baba yake atavaa nguo zile siku saba katika hema la mukutano, kwa kutumika katika Pahali Patakatifu.


Lakini ikiwa kipele hicho, ingawa ni cheupe hakikuingia ndani sana ya ngozi na wala nywele za pahali pale hazikubadilika kuwa nyeupe, basi, kuhani atamutenga mutu yule kwa muda wa siku saba.


Kuhani atamuchunguza tena mutu yule siku ya saba. Kama kulingana na uchunguzi wake, ile sehemu ya ugonjwa imefifia na ugonjwa haujaenea, basi, kuhani atamutangaza mutu yule kuwa safi, huo ni upele tu. Mutu huyo atafua nguo zake, naye atakuwa safi.


Huyo mutu atafua nguo zake, atanyoa nywele zake, na kuoga, naye atakuwa safi. Nyuma ya hayo atarudi ndani ya kambi, lakini atakaa inje ya hema lake kwa muda wa siku saba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ