Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Walawi 13:48 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

48 nguo ile ikuwe imefumwa au imesokotwa kwa kitani au sufu au ni nguo ya ngozi ya aina yoyote,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Walawi 13:48
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kama kuna namna ya taka la ukoma kwenye nguo, ikuwe ya sufu au kitani,


ikiwa taka lile lina rangi ya kijani au nyekundu katika nguo ile, basi, nguo ile ina ukoma. Kwa hiyo ni lazima kumwonyesha kuhani.


Siku ya saba ataangalia taka lile. Ikiwa taka lile limeenea katika nguo hiyo, ikuwe ni ya kufuma au kusokotwa au ya ngozi au ya ngozi ya aina yoyote, nguo ile ina ukoma. Hivyo nguo ile ni chafu.


Kuhani atachoma kwa moto nguo ile maana ina namna ya ukoma wenye kuenea.


Kama kuhani ataona kwamba taka halikuenea katika nguo, basi,


“Muhakikishe kwamba hamutamusahau Yawe, Mungu wenu, kwa kutoshika amri zake, maagizo yake na masharti yake ninayowaamuru leo.


muwaokoe, mukiwaopoa toka katika moto. Muwasikilie vilevile wengine huruma, lakini kwa woga, mukichukia hata nguo zao zilizochafuliwa na tamaa zao mbaya.


Lakini ungali na watu wachache kule Sardi wasiochafua nguo zao. Wale ndio watakaotembea pamoja nami wakivaa nguo nyeupe kwa sababu wanastahili.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ